Dua ya kuingia mjini au kijijini

Ewe Mwenyezi Mungu, Mola wa mbingu saba na kila ambacho hizo mbingu zimekipa kivuli, na Mola wa ardhi saba na kila ambacho zimebeba, na Mola wa mashetani na walicho kipoteza, na Mola wa upepo na ulicho kibeba, nakuomba kheri ya kijiji hiki, na kheri ya watu wake, na kheri ya vilivyo ndani yake, najilinda kwako na shari ya kijiji hiki, na shari ya watu wake, na shari iliyomo ndani yake.

API