Dua ya kulipa deni
				
				
				
				
									
						
						
						Ewe Mwenyezi Mungui nitosheleze mimi na halali yako kutokana na haramu, na unitosheleze kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine wasiokuwa Wewe.													
											 
									
						
						
						Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na hamu, na huzuni, na kutoweza, na uvivu, na ubakhili na uwoga, na uzito wa deni, na kushindwa na watu.