Dua ya kulipa deni

Ewe Mwenyezi Mungui nitosheleze mimi na halali yako kutokana na haramu, na unitosheleze kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine wasiokuwa Wewe.

Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na hamu, na huzuni, na kutoweza, na uvivu, na ubakhili na uwoga, na uzito wa deni, na kushindwa na watu.

API