Anayoyafanya mwenye kuota ndoto njema au mbaya

Ndoto njema inatoka kwa Mwenyezi Mungu na ndoto mbaya inatoka kwa mashetani. (114) Akiona mmoja wenu ndoto nzuri asimzungumzie ila yule anaempenda, na anaeona ndoto mbaya anatakiwa apulize kushotoni kwake mara tatu. -Kisha atake (aombe) hifadhi kwa Mwenyezi Mungu kutokana na shari ya shetani na shari ya alichokiona, mara tatu. -Kisha asilalie ule upande au ubavu aliootea, bali ageukie ubavu mwingine.

(115) Atasimama kuswali akitaka.

API