Dua inayosomwa baina ya nguzo ya yemeni na hajar al-as'wad (katika alkaaba)

Alikuwa Mtume (s.a.w) akisema baina yake: ''Ewe Mwenyezi Mungu tupe katika dunia hii mema, na katika akhera mema, na utukinge na adhabu ya moto.''

API